VIDEO

KITUO CHA MAKUMBUSHO YA Mwl. JULIUS KAMBARAGE NYERERE – BUTIAMA MKOANI MARA  Share  132

KITUO CHA MAKUMBUSHO YA Mwl. JULIUS KAMBARAGE NYERERE – BUTIAMA MKOANI MARA

 

Utapata kufahamu:

1. Historia adhimu ya maisha ya Mwl. Julius K. Nyerere

i. Kuzaliwa kwake

ii. Kusoma kwake

iii. Shughuli alizozifanya kabla ya kuwa kiongozi

iv. Shughuli alizozifanya akiwa na  nafasi za uongozi

v. Shughuli alizozifanya baada ya kutoka kwenye uongozi

2. Mila na Desturi za kabila la Wazanaki kupitia onesho la nyumba za jadi za Wazanaki.

Mawasiliano:

Mobile: +255 784 859 057

E-mail: jknyerere@nmt.go.tz 

       P.O Box 995 - MUSOMA